Habari


  • July 21, 2023

    YALIYOJIRI KWENYE KIKAO CHA MENEJIMENTI CHA TATHMINI YA UTENDAJI WA WAKALA WA VIPIMO

    Katibu Mkuu Wizara ya Viwanda na Biashara Dkt. Hashil Abdallah amewataka viongozi wa Wakala wa Vipimo kujikita zaidi kwenye kusaidia uwezeshaji kwenye Biashara kwa kuhakikisha inatoa elimu ya kutosha kuhusu umuhimu wa kutumia Vipimo na kuhakikisha wafanyabiashara wanazalisha bidhaa zenye Vipimo sahihi .

    Soma zaidi

  • June 21, 2023

    ELIMU YA VIPIMO KATIKA MAADHIMISHO YA SIKU YA BARCODE KITAIFA

    Waziri wa maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima ameipongeza Wakala wa Vipimo kwa kushiriki kwenye maadimisho ya Siku ya Barcode Kitaifa

    Soma zaidi

  • May 21, 2023

    SETI 25 ZA VIPIMO VYA MAWESE ZAGAWIWA KWENYE MAADHIMISHO YA SIKU YA VIPIMO DUNIANI MKOANI KIGOMA

    Wakala wa Vipimo imeadhimisha siku ya Vipimo Duniani Mkoa wa Kigoma kwa kugawa jumla ya seti za vipimo 25 zenye ujazo wa lita 5, lita 10 na lita 20 kwa lengo la kuhimiza matumizi ya vipimo sahihi

    Soma zaidi

  • May 08, 2023

    WAKALA WA VIPIMO MKOA WA KIGOMA YAHIMIZWA KUENDELEA KUSIMAMIA MATUMIZI SAHIHI YA VIPIMO KWENYE MAWESE

    Wakala wa Vipimo imefanya kikao na viongozi mbalimbali wa Mkoa wa Kigoma kujadili mkakati wa kutokomeza matumizi ya Vipimo batili kwenye mawese (Bidoo).

    Soma zaidi