Habari


  • August 12, 2024

    WMA YAWAPONGEZA WAKULIMA KARATU KUZINGATIA MATUMIZI YA VIPIMO SAHIHI

    Kaimu Mkurugenzi wa Huduma za Ufundi kutoka Wakala wa Vipimo Tanzania (WMA), Albogast Kajungu, amefanya ziara ya kushtukiza katika mashamba ya wakulima mbalimbali eneo la Mang’ola wilayani Karatu

    Soma zaidi

  • August 04, 2024

    WMA YAELEZA MCHANGO WAKE KATIKA SEKTA YA KILIMO

    Kaimu Mkurugenzi wa Huduma za Ufundi kutoka Wakala wa Vipimo Tanzania (WMA), Albogast Kajungu, amesema WMA ina mchango mkubwa katika sekta ya kilimo hususani katika mazao ya kimkakati ambayo ni korosho, ufuta, kahawa, tumbaku na pamba.

    Soma zaidi

  • July 17, 2024

    WAZIRI JAFO AFANYA ZIARA KUKAGUA MAENDELEO YA UJENZI WA OFISI ZA WMA MAKAO MAKUU DODOMA

    Waziri wa Viwanda na Biashara, Mheshimiwa Dkt. Selemani Jafo, amepongeza Wakala wa Vipimo (WMA) kwa utendaji kazi mahiri na wenye weledi na kutoa wito kwa Taasisi nyingine zilizo chini ya Wizara hiyo kuiga mfano wake.

    Soma zaidi

  • July 11, 2024

    WAZIRI WA VIWANDA NA BIASHARA ATEMBELEA KITUO CHA UHAKIKI WA VIPIMO MISUGUSUGU

    Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe. Dkt. Selemani Jafo (Mb) ametembelea kituo cha uhakiki wa vipimo misugusugu mkoani Pwani na kupokelewa na Afisa Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Vipimo (WMA) ndugu. Alban Mark Kihulla.

    Soma zaidi