Habari


  • June 04, 2024

    YALIYOJIRI KATIKA KIKAO CHA BARAZA LA 34 LA WAFANYAKAZI WA WAKALA WA VIPIMO (WMA).

    Afisa Mtendaji Mkuu Bw. Alban Kihulla ameongoza kikao cha therasini na nne (34) cha Baraza la Wafanyakazi wa Wakala wa Vipimo kilichofanyika leo tarehe 04.06.2024 katika Ukumbi wa WMA Mkoa wa Kilimanjaro.

    Soma zaidi

  • May 31, 2024

    WAKALA WA VIPIMO MKOA WA KINONDONI YATOA ELIMU YA UFUNGASHAJI SAHIHI WA MAZAO KATIKA SOKO LA MABIBO GAMETS

    Katika kuendeleza mapambano dhidi ya lumbesa, Wakala wa Vipimo Mkoa wa Kinondoni imetoa elimu juu ya ufungashaji sahihi wa mazao kwa wafanyabiashara wa viazi katika soko la Mabibo Gamets.

    Soma zaidi

  • May 21, 2024

    ELIMU YA MATUMIZI SAHIHI YA VIPIMO YATOLEWA KWA WABUNGE

    Waziri wa Biashara na Maendeleo ya Viwanda Zanzibar Mhe. Omar S. Shaaban ameipongeza taasisi ya Wakala wa Vipimo (WMA) kwa namna inavyoendelea kusimamia usahihi wa vipimo

    Soma zaidi

  • May 31, 2024

    WAKALA WA VIPIMO YA ADHIMISHA SIKU YA VIPIMO DUNIANI KWA KUGAWA MIZANI SOKO LA ILALA.

    Wakala wa Vipimo (WMA) imeungana na taasisi zingine za vipimo duniani kuadhimisha Siku ya Vipimo ambayo huadhimishwa Mei 20 kila mwaka.

    Soma zaidi