Kurugenzi
Wakala wa Vipimo ina kurugenzi mbili;
Kurugenzi ya Huduma za Biashara
Kusimamia kwa usahihi rasilimali za taasisi na kuhusisha matumizi ya Tehama kwa lengo la kutoa huduma bora na kuleta ustawi wa taasisi. Hivyo, Kurugenzi hii;
1. Utoa
ushauri juu ya ufanisi wa Taasisi na namna bora ya kuboresha utoaji wa huduma;
2. Uwezesha
Wakala kutekeleza Sera na majukumu ya Kisheria;
3. Uandaa
na kutoa ushauri wa Kitaalam juu ya mifumo ya
usimamizi wa fedha na rasilimali za Wakala;
4. Kusimamia masuala mtambuka yanafanyiwa kazi
katika Mpango Mkakati wa Wakala;
5. Kusimamia matumizi mazuri ya fedha na mali za Wakala pamoja na
6. Kuratibu uandaaji wa Mpango Mkakati na Bajeti katika Wakala.
MAKUKUMU YA MKURUGENZI-HUDUMA ZA UFUNDI
ReplyForward |