Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Wakala wa Vipimo
Vipimo Sahihi na Vya Kuaminika kwa Wote
Background

Matangazo

Rudi kwenye Matangazo

Dirisha la maombi ya leseni kufunguliwa 2026

July 01, 2026

Idara ya Leseni itafungua rasmi dirisha la kupokea maombi tarehe 10 Desemba 2025. Waombaji wanahimizwa kuandaa nyaraka zote muhimu mapema ili kurahisisha mchakato wa uwasilishaji. Taarifa zaidi na maelekezo zitatolewa kupitia njia zetu rasmi za mawasiliano.

Taarifa za Hivi Karibuni