Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Wakala wa Vipimo
Vipimo Sahihi na Vya Kuaminika kwa Wote
Background

Vitengo

Tazama vitengo maalum vinavyowezesha shughuli zetu na utoaji wa huduma.

Kitengo cha Tehama

  • Kuandaa na kutekeleza sera, mikakati na viwango vya TEHAMA
  • Kujenga, kusimamia na kutunza mifumo, miundombinu na mitandao ya TEHAMA
  • Kuhakikisha usalama wa taarifa na upatikanaji endelevu wa mifumo
  • Kubuni na kutoa suluhisho za kidijitali zinazosaidia uendeshaji wa shughuli za taasisi
  • Kutoa msaada wa kitaalamu wa TEHAMA na huduma kwa watumiaji
  • Kuratibu uunganishaji wa mifumo na majukwaa ya Serikali pamoja na wadau mbalimbali.
  • Kujenga uwezo wa watumishi kupitia mafunzo na msaada wa TEHAMA

Sheria

  • Kinashughulikia na kutoa ushauri wa Kisheria katika mambo yote yanayohusu taasisi

Mipango

  • Kinahusika na kuratibu shughuli zote za mipango za taasisi

Ununuzi na Ugavi

  • Kinashughulikia maswala yote ya ununuzi na ugavi ndani ya taasisi

Ukaguzi wa Ndani

  • Kitengo hiki humsaidia Mtendaji Mkuu katika kusimamia mifumo ya uthibiti wa ndani