Habari


  • February 09, 2024

    WAZIRI MKUU AWEKA JIWE LA MSINGI UJENZI WA OFISI YA MAKAO MAKUU YA WAKALA WA VIPIMO (WMA)

    Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa Majaliwa (Mb) ameweka jiwe la msingi katika ujenzi wa ofisi ya Makao Makuu ya wakala wa vipimo (WMA) jijini Dodoma.

    Soma zaidi

  • January 14, 2024

    WAKALA WA VIPIMO TANZANIA BARA (WMA) NA ZANZIBAR (ZAWEMA) ZAKUBALIANA KUSHIRIKIANA KUSIMAMIA MATUMIZI SAHIHI YA VIPIMO

    Taasisi za Wakala wa vipimo za Serikali ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania (WMA) na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (ZAWEMA) zimetiliana saini hati ya makubaliano ya ushirikiano (MoU)

    Soma zaidi

  • November 23, 2023

    KAMATI YA BUNGE VIWANDA, BIASHARA, KILIMO NA MIFUGO YAFANYA ZIARA KWENYE MPAKA WA MUTUKULA MKOA WA KAGERA.

    Kamati ya Kudumu ya Bunge Viwanda, Biashara, Kilimo na Mifugo imeielekeza Wizara ya Viwanda na Biashara kutatuta changamoto za Biashara katika Mpaka wa Mutukula.

    Soma zaidi

  • November 21, 2023

    KAMATI YA BUNGE VIWANDA, BIASHARA, KILIMO NA MIFUGO YAPATIWA ELIMU KUHUSU MATUMIZI SAHIHI YA VIPIMO

    Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Viwanda Biashara, Kilimo na Mifugo imeielekeza Wizara ya Viwanda na Biashara kupitia Wakala wa Vipimo nchini (WMA) kuwa na mpango mkakati endelevu wa utoaji elimu kuhusu matumizi sahihi ya Vipimo.

    Soma zaidi