Habari


  • July 11, 2024

    WAZIRI WA VIWANDA NA BIASHARA ATEMBELEA KITUO CHA UHAKIKI WA VIPIMO MISUGUSUGU

    Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe. Dkt. Selemani Jafo (Mb) ametembelea kituo cha uhakiki wa vipimo misugusugu mkoani Pwani na kupokelewa na Afisa Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Vipimo (WMA) ndugu. Alban Mark Kihulla.

    Soma zaidi

  • July 08, 2024

    WAKALA WA VIPIMO (WMA) YASISITIZA MATUMIZI SAHIHI YA VIPIMO KATIKA MAONESHO YA SABASABA

    Wakala wa Vipimo (WMA) inaungana na taasisi zingine katika kushiriki maonesho ya 48 ya kimataifa ya biashara ya Dar es Salaam (SabaSaba) yanayofanyika katika viwanja vya SabaSaba wilayani Temeke Jijini Dar es Salaam.

    Soma zaidi

  • July 08, 2024

    WAKALA WA VIPIMO (WMA) YASISITIZA MATUMIZI SAHIHI YA VIPIMO KATIKA MAONESHO YA SABASABA

    Wakala wa Vipimo (WMA) inaungana na taasisi zingine katika kushiriki maonesho ya 48 ya kimataifa ya biashara ya Dar es Salaam (SabaSaba) yanayofanyika katika viwanja vya SabaSaba wilayani Temeke Jijini Dar es Salaam.

    Soma zaidi

  • June 25, 2024

    WMA ILALA YATEKELEZA MKAKATI WA ELIMU MASOKONI KWA KILA MDAU

    Wakala wa Vipimo Mkoa wa Ilala imetekeleza mpango mkakati wake wa utoaji wa elimu juu ya matumizi sahihi ya vipimo na ufungashaji wa mazao kwa usahihi kwa mujibu wa Sheria ya Vipimo

    Soma zaidi