Habari
-
December 03, 2024WMA YASISITIZA MATUMIZI SAHIHI YA VIPIMO KWA WAFANYABIASHARA WA MVINYO
Wakala wa Vipimo (WMA) Mkoa wa Dodoma imewahimiza wajasiriamali na wafanyabiashara wanaouza mvinyo unaotokana na zao la zabibu kufungasha bidhaa zao kwa kuzingatia vipimo sahihi
Soma zaidi -
September 19, 2024WAZIRI JAFO: WIZI WA KUCHEZEA VIPIMO NI KOSA KISHERIA
Waziri wa Viwanda na Biashara, Dkt. Selemani Jafo amehimiza wananchi jijini Mwanza kuzingatia matumizi sahihi ya vipimo kila mara wanapofanya manunuzi na kuuza bidhaa mbalimbali.
Soma zaidi -
September 11, 2024WMA YATOA MSAADA WA VIFAA VYA TEHAMA KWA JESHI LA POLISI ILALA
Wakala wa Vipimo (WMA) imekabidhi msaada wa vifaa vya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA) kwa Jeshi la Polisi Mkoa wa kipolisi Ilala
Soma zaidi -
September 11, 2024WMA, TAKUKURU WATEKELEZA MAELEKEZO YA RAIS SAMIA
Wakala wa Vipimo (WMA) Mkoa wa Dodoma imetoa elimu ya vipimo kwa Watumishi wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU)
Soma zaidi