Habari


  • March 18, 2026

    KAMATI YA BUNGE YAITAKA WMA KUHAKIKI MITA ZA UMEME KWA MUJIBU WA SHERIA

    Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Viwanda, Biashara, Kilimo na Mifugo imeiagiza Wakala wa Vipimo (WMA) kuhakikisha mita za umeme zinahakikiwa kikamilifu kabla ya kufungwa kwa ajili ya matumizi.

    Soma zaidi

  • March 08, 2026

    WAKALA WA VIPIMO DODOMA WAJIVUNIA MAFANIKIO YA SIKU 100 ZA RAIS SAMIA

    Wakala wa Vipimo (WMA) Mkoa wa Dodoma umeeleza kujivunia mafanikio yaliyopatikana kupitia utekelezaji wa miradi na maboresho mbalimbali yanayofanyika chini ya uongozi wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan

    Soma zaidi

  • February 27, 2026

    ELIMU YA VIPIMO YAWAFIKIA WANAFUNZI WA SHULE ZA MSINGI NA SEKONDARI DODOMA

    Wakala wa Vipimo Tanzania (WMA) imetoa mafunzo ya vipimo kwa wanafunzi wa Dr. Samia Dodoma Secondary School, ikiwa ni sehemu ya jitihada za kuongeza uelewa kuhusu umuhimu wa vipimo sahihi katika biashara na maisha ya kila siku.

    Soma zaidi

  • February 27, 2026

    WMA YAFUNGA MTAMBO WA KISASA UNAOHAKIKI DIRA ZA MAJI DODOMA

    Wakala wa Vipimo (WMA) umesimika mtambo wa kisasa wa kidijitali wa kuhakiki dira za maji katika jengo la makao yake makuu lililopo jijini Dodoma.

    Soma zaidi