Habari


  • August 08, 2025

    MTENDAJI MKUU WMA ATEMBELEA MAONESHO YA NANENANE DODOMA

    Afisa Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Vipimo (WMA) Bw. Alban Kihulla, leo Agosti 8, 2025 ametembelea Maonesho ya NaneNane

    Soma zaidi

  • August 08, 2025

    WAKALA WA VIPIMO YAFANYA UKAGUZI WA KUSHTUKIZA KIBAIGWA

    Wakala wa Vipimo (WMA) Mkoa wa Dodoma imefanya ukaguzi wa kushtukiza wa mizani inayotumika kununulia na kuuzia mazao katika Soko Kuu la mazao la kimataifa Kibaigwa

    Soma zaidi

  • August 08, 2025

    WAKALA WA VIPIMO KUANZA KUTOA ELIMU MASHULENI

    Wanafunzi wa Shule ya Msingi Brother Martin ya mkoani Dodoma wamepata elimu ya vipimo

    Soma zaidi

  • August 07, 2025

    PROFESA PALAMAGAMBA KABUDI ATEMBELEA BANDA LA WAKALA WA VIPIMO NANENANE NA KUWAPONGEZA KWA KAZI NZURI

    Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Mhe. Prof. Palamagamba Kabudi ametembelea Banda la Wakala wa Vipimo (WMA) katika Maonesho ya NaneNane Dodoma.

    Soma zaidi