Habari


  • December 03, 2024

    WMA YASISITIZA MATUMIZI SAHIHI YA VIPIMO KWA WAFANYABIASHARA WA MVINYO

    Wakala wa Vipimo (WMA) Mkoa wa Dodoma imewahimiza wajasiriamali na wafanyabiashara wanaouza mvinyo unaotokana na zao la zabibu kufungasha bidhaa zao kwa kuzingatia vipimo sahihi

    Soma zaidi

  • September 19, 2024

    WAZIRI JAFO: WIZI WA KUCHEZEA VIPIMO NI KOSA KISHERIA

    Waziri wa Viwanda na Biashara, Dkt. Selemani Jafo amehimiza wananchi jijini Mwanza kuzingatia matumizi sahihi ya vipimo kila mara wanapofanya manunuzi na kuuza bidhaa mbalimbali.

    Soma zaidi

  • September 11, 2024

    WMA YATOA MSAADA WA VIFAA VYA TEHAMA KWA JESHI LA POLISI ILALA

    Wakala wa Vipimo (WMA) imekabidhi msaada wa vifaa vya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA) kwa Jeshi la Polisi Mkoa wa kipolisi Ilala

    Soma zaidi

  • September 11, 2024

    WMA, TAKUKURU WATEKELEZA MAELEKEZO YA RAIS SAMIA

    Wakala wa Vipimo (WMA) Mkoa wa Dodoma imetoa elimu ya vipimo kwa Watumishi wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU)

    Soma zaidi