Habari


  • September 26, 2025

    WAFANYABIASHARA WA MADINI WAHIMIZWA KUTUMIA VIPIMO SAHIHI GEITA

    Meneja wa Wakala wa Vipimo (WMA) Mkoa wa Geita Bi. Eva Ikula amewataka wafanyabiashara wa madini mkoa wa Geita kuzingatia matumizi ya vipimo sahihi wakati wote ili kuhakikisha kunakuwa na usawa katika biashara hiyo bila upande wowote kupunjika.

    Soma zaidi

  • September 23, 2025

    UMOJA WA VIWANDA VYA ALIZETI WAPATIWA ELIMU YA VIPIMO

    Wakala wa Vipimo (WMA) Mkoa wa Dodoma imetoa wito na kuwahakikishia wafanyabiashara wa Mji wa Kibaigwa Wilayani Kongwa kusimamia usahihi wa vipimo vinavyotumika kufanyia biashara

    Soma zaidi

  • August 08, 2025

    MTENDAJI MKUU WMA ATEMBELEA MAONESHO YA NANENANE DODOMA

    Afisa Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Vipimo (WMA) Bw. Alban Kihulla, leo Agosti 8, 2025 ametembelea Maonesho ya NaneNane

    Soma zaidi

  • August 08, 2025

    WAKALA WA VIPIMO YAFANYA UKAGUZI WA KUSHTUKIZA KIBAIGWA

    Wakala wa Vipimo (WMA) Mkoa wa Dodoma imefanya ukaguzi wa kushtukiza wa mizani inayotumika kununulia na kuuzia mazao katika Soko Kuu la mazao la kimataifa Kibaigwa

    Soma zaidi