Habari
-
February 03, 2026?WMA YAFUNGA MTAMBO WA KISASA UNAOHAKIKI DIRA ZA MAJI DODOMA
Wakala wa Vipimo (WMA) umesimika mtambo wa kisasa wa kidijitali wa kuhakiki dira za maji katika jengo la makao yake makuu lililopo jijini Dodoma.
Soma zaidi -
January 26, 2026Naibu Waziri Londo Aitaka Wakala wa Vipimo Kusimamia Sheria Kulinda Haki za Mlaji
Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara, Dennis Londo, ameitaka Wakala wa Vipimo nchini kuongeza uwajibikaji na kusimamia kikamilifu utekelezaji wa sheria za vipimo ili kuwalinda walaji dhidi ya udanganyifu na kuhakikisha wanapata thamani halisi ya fedha zao.
Soma zaidi -
January 26, 2026WAKALA WA VIPIMO TANZANIA NA ZAMBIA KUSHIRIKIANA KUSIMAMIA MATUMIZI SAHIHI YA VIPIMO
Taasisi za Wakala wa Vipimo kutoka nchini Tanzania (WMA) na Zambia (ZMA) zimesaini rasmi Mkataba wa kushirikiana katika usimamizi wa matumizi sahihi ya vipimo.
Soma zaidi -
September 26, 2025WAFANYABIASHARA WA MADINI WAHIMIZWA KUTUMIA VIPIMO SAHIHI GEITA
Meneja wa Wakala wa Vipimo (WMA) Mkoa wa Geita Bi. Eva Ikula amewataka wafanyabiashara wa madini mkoa wa Geita kuzingatia matumizi ya vipimo sahihi wakati wote ili kuhakikisha kunakuwa na usawa katika biashara hiyo bila upande wowote kupunjika.
Soma zaidi