Habari


  • September 11, 2024

    WMA, TAKUKURU WATEKELEZA MAELEKEZO YA RAIS SAMIA

    Wakala wa Vipimo (WMA) Mkoa wa Dodoma imetoa elimu ya vipimo kwa Watumishi wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU)

    Soma zaidi

  • September 02, 2024

    WMA YAPANGA KUNG'ARA SHIMUTA

    Katika kuhakikisha kuwa WMA inapata timu bora na yenye ushindani, Watumishi wa Taasisi hiyo wameshriki michezo katika bonanza hilo ikiwemo mpira wa miguu,mpira wa pete, drafti, na kuvuta kamba ili kujiweka tayari na kuwa na utimamu wa mwili

    Soma zaidi

  • August 29, 2024

    WMA YAHAMASISHA MATUMIZI SAHIHI YA VIPIMO KWA WATUMISHI NSSF ILALA

    Wakala wa Vipimo Tanzania (WMA), imewahamasisha watumishi wa Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) Mkoa wa kivipimo Ilala, kujenga tabia ya kuwa makini na namna vipimo vinavyotumika kila wanapopata huduma na mahitaji mbalimbali.

    Soma zaidi

  • August 26, 2024

    WABUNIFU VIPIMO, TEKNOLOJIA MPYA WAHAMASISHWA KUCHANGAMKIA FURSA

    Meneja wa Viwango na Uhakiki, Wakala wa Vipimo Tanzania (WMA), Magesa Biyani ametoa rai kwa wabunifu wa vipimo pamoja na teknolojia mbalimbali zinazohusiana na uhakiki wa vipimo kuchangamkia fursa

    Soma zaidi