Habari
-
January 26, 2026WAKALA WA VIPIMO TANZANIA NA ZAMBIA KUSHIRIKIANA KUSIMAMIA MATUMIZI SAHIHI YA VIPIMO
Taasisi za Wakala wa Vipimo kutoka nchini Tanzania (WMA) na Zambia (ZMA) zimesaini rasmi Mkataba wa kushirikiana katika usimamizi wa matumizi sahihi ya vipimo.
Soma zaidi -
September 26, 2025WAFANYABIASHARA WA MADINI WAHIMIZWA KUTUMIA VIPIMO SAHIHI GEITA
Meneja wa Wakala wa Vipimo (WMA) Mkoa wa Geita Bi. Eva Ikula amewataka wafanyabiashara wa madini mkoa wa Geita kuzingatia matumizi ya vipimo sahihi wakati wote ili kuhakikisha kunakuwa na usawa katika biashara hiyo bila upande wowote kupunjika.
Soma zaidi -
September 23, 2025UMOJA WA VIWANDA VYA ALIZETI WAPATIWA ELIMU YA VIPIMO
Wakala wa Vipimo (WMA) Mkoa wa Dodoma imetoa wito na kuwahakikishia wafanyabiashara wa Mji wa Kibaigwa Wilayani Kongwa kusimamia usahihi wa vipimo vinavyotumika kufanyia biashara
Soma zaidi -
August 08, 2025MTENDAJI MKUU WMA ATEMBELEA MAONESHO YA NANENANE DODOMA
Afisa Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Vipimo (WMA) Bw. Alban Kihulla, leo Agosti 8, 2025 ametembelea Maonesho ya NaneNane
Soma zaidi