Habari
-
August 08, 2025WAKALA WA VIPIMO YAFANYA UKAGUZI WA KUSHTUKIZA KIBAIGWA
Wakala wa Vipimo (WMA) Mkoa wa Dodoma imefanya ukaguzi wa kushtukiza wa mizani inayotumika kununulia na kuuzia mazao katika Soko Kuu la mazao la kimataifa Kibaigwa
Soma zaidi -
August 08, 2025WAKALA WA VIPIMO KUANZA KUTOA ELIMU MASHULENI
Wanafunzi wa Shule ya Msingi Brother Martin ya mkoani Dodoma wamepata elimu ya vipimo
Soma zaidi -
August 07, 2025PROFESA PALAMAGAMBA KABUDI ATEMBELEA BANDA LA WAKALA WA VIPIMO NANENANE NA KUWAPONGEZA KWA KAZI NZURI
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Mhe. Prof. Palamagamba Kabudi ametembelea Banda la Wakala wa Vipimo (WMA) katika Maonesho ya NaneNane Dodoma.
Soma zaidi -
June 20, 2025WMA YAENDESHA ZOEZI LA UHAKIKI MITA ZA UMEME VIWANDANI
Wakala wa Vipimo (WMA) unaendesha zoezi la kuhakiki mita za umeme zilizofungwa katika viwanda mbalimbali nchini ili kuhakikisha Serikali kupitia Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) inapata mapato stahiki
Soma zaidi