Habari


  • July 08, 2024

    WAKALA WA VIPIMO (WMA) YASISITIZA MATUMIZI SAHIHI YA VIPIMO KATIKA MAONESHO YA SABASABA

    Wakala wa Vipimo (WMA) inaungana na taasisi zingine katika kushiriki maonesho ya 48 ya kimataifa ya biashara ya Dar es Salaam (SabaSaba) yanayofanyika katika viwanja vya SabaSaba wilayani Temeke Jijini Dar es Salaam.

    Soma zaidi

  • June 25, 2024

    WMA ILALA YATEKELEZA MKAKATI WA ELIMU MASOKONI KWA KILA MDAU

    Wakala wa Vipimo Mkoa wa Ilala imetekeleza mpango mkakati wake wa utoaji wa elimu juu ya matumizi sahihi ya vipimo na ufungashaji wa mazao kwa usahihi kwa mujibu wa Sheria ya Vipimo

    Soma zaidi

  • June 24, 2024

    ELIMU YA VIPIMO YATOLEWA KWA WATUMISHI WA NSSF MKOA WA TEMEKE

    Wakala wa Vipimo (WMA) imetoa elimu ya matumizi sahihi ya vipimo kwa watumishi wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF) Mkoa wa Temeke.

    Soma zaidi

  • June 04, 2024

    YALIYOJIRI KATIKA KIKAO CHA BARAZA LA 34 LA WAFANYAKAZI WA WAKALA WA VIPIMO (WMA).

    Afisa Mtendaji Mkuu Bw. Alban Kihulla ameongoza kikao cha therasini na nne (34) cha Baraza la Wafanyakazi wa Wakala wa Vipimo kilichofanyika leo tarehe 04.06.2024 katika Ukumbi wa WMA Mkoa wa Kilimanjaro.

    Soma zaidi