Habari


  • August 19, 2024

    WAKALA WA VIPIMO YAENDESHA UKAGUZI WA KUSHTUKIZA KATIKA MADUKA YA KUUZIA NONDO JIJINI DAR ES SALAAM

    Wakala wa Vipimo Mkoa wa Dar es Salaam imeendesha zoezi la ukaguzi wa kushtukiza katika maduka mbalimbali ya kuuzia nondo ili kujiridhisha kama bidhaa hizo zipo katika Vipimo sahihi.

    Soma zaidi

  • August 19, 2024

    WAKALA WA VIPIMO ZANZIBAR WAJIFUNZA KUTOKA WMA BARA

    Mkurugenzi Mtendaji wa Wakala wa Vipimo Zanzibar (ZAWEMA) Mohammed Simai amefanya ziara ya siku mbili mkoani Mtwara kwa lengo la kujifunza majukumu yanayotekelezwa na Wakala wa Vipimo Tanzania Bara (WMA) ambapo amekiri kunufaika zaidi ya alivyotarajia

    Soma zaidi

  • August 12, 2024

    WMA YAWAPONGEZA WAKULIMA KARATU KUZINGATIA MATUMIZI YA VIPIMO SAHIHI

    Kaimu Mkurugenzi wa Huduma za Ufundi kutoka Wakala wa Vipimo Tanzania (WMA), Albogast Kajungu, amefanya ziara ya kushtukiza katika mashamba ya wakulima mbalimbali eneo la Mang’ola wilayani Karatu

    Soma zaidi

  • August 04, 2024

    WMA YAELEZA MCHANGO WAKE KATIKA SEKTA YA KILIMO

    Kaimu Mkurugenzi wa Huduma za Ufundi kutoka Wakala wa Vipimo Tanzania (WMA), Albogast Kajungu, amesema WMA ina mchango mkubwa katika sekta ya kilimo hususani katika mazao ya kimkakati ambayo ni korosho, ufuta, kahawa, tumbaku na pamba.

    Soma zaidi