Habari


  • August 11, 2017

    JUMLA YA MIZANI 448 YAHAKIKIWA MKOANI MWANZA IKIWA NI MAANDALIZI YA UNUNUZI WA PAMBA

    Wakala wa Vipimo (WMA) Tanzania imeendelea na zoezi la utoaji wa elimu pamoja na uhakiki wa mizani kwenye makampuni mbalimbali ya wafanyabiashara Mkoani Mwanza katika Wilaya za Kwimba, Magu, Misungwi na Sengerema ikiwa ni maandalizi ya msimu wa Pamba.

    Soma zaidi

  • August 11, 2017

    MIZANI 94 KATI YA 150 YATAKIWA KUFANYIWA MAREKEBISHO WILAYANI RUANGWA, MKOA WA LINDI.

    Wakala wa Vipimo nchini imezuia matumizi ya mizani 94 kati 150 ya vyama vya msingi vya ushirika (AMCOS) katika Wilaya ya Ruangwa, mkoani Lindi, isitumike hadi pale itakapo fanyiwa marekebisho na kuonekana inafaa kwa matumizi.

    Soma zaidi

  • August 11, 2017

    Siku ya Vipimo Duniani

    Mei, 20 kila mwaka nchi nyingi duniani husherehekea siku ya vipimo duniani. Mwaka huu kauli mbiu ( theme) ya maadhimisho ni vipimo katika sekta ya usafirishaji (measurement for transport) .

    Soma zaidi

  • August 11, 2017

    Elimu kwa Umma pamoja na uhakiki wa mizani Wilayani Masasi Mkoani Mtwara

    Elimu kwa Umma pamoja na uhakiki wa mizani Wilayani Masasi Mkoani Mtwara

    Soma zaidi