Habari


  • January 03, 2023

    ZIARA YA KATIBU MKUU WIZARA YA UWEKEZAJI, VIWANDA NA BIASHARA KUTEMBELEA UJENZI WA OFISI YA MAKAO MAKUU DODOMA

    Katibu Mkuu Wizara ya Uwekezaji, Viwanda na Biashara Dkt. Hashil Abdallah amefanya ziara ya kukagua maendeleo ya ujenzi wa Ofisi ya Wakala wa Vipimo Makao Makuu Dodoma ili kujiridhisha na kasi na utendaji kazi katika mradi huo.

    Soma zaidi

  • December 28, 2022

    ELIMU YA VIPIMO KWA WATU WENYE UHITAJI MAALUM IKWIRIRI, RUFIJI MKOA WA PWANI

    Wakala wa Vipimo (WMA) imetoa Elimu ya Vipimo kwa kundi la watu wenye uhitaji maalum ikwiriri kwa lengo la kuwajengea uelewa kuhusu matumizi sahihi ya Vipimo.

    Soma zaidi

  • November 18, 2022

    KAMATI YA BUNGE VIWANDA, BIASHARA NA MAZINGIRA YAIPONGEZA WAKALA WA VIPIMO

    Kituo cha Wakala wa Vipimo (WMA), Misugusuru Mkoa wa Pwani kimekuwa cha mfano na nchi za Afrika Mashariki zimekuwa zikija kujifunza ubora wa kazi zinazofanywa kwenye kituo hicho

    Soma zaidi

  • October 28, 2022

    MIZANI 1326 IMEHAKIKIWA MTWARA KWENYE MSIMU WA KOROSHO

    Wakala wa Vipimo Mtwara imefanya uhakiki wa mizani 1326 ili kuhakikisha biashara zinafanyika kwa kutumia vipimo sahihi ili wakulima wa zao la korosho wasipunjike na waweze kunufaika na korosho watakayo uza.

    Soma zaidi