Habari


  • September 29, 2021

    Elimu kuhusu matumizi sahihi ya Vipimo na Ufungashaji Mkoa wa Njombe

    Mkuu wa Mkoa wa Njombe Mhe. Marwa Rubirya ameipongeza taasisi ya Wakala wa Vipimo kwa uamuzi wa kutoa elimu kuhusu matumizi sahihi ya Vipimo na ufungashaji kwa Wakulima na viongozi mbalimbali wa Serikali

    Soma zaidi

  • September 20, 2021

    UMUHIMU WA KUTUMIA VIPIMO SAHIHI KATIKA SEKTA YA MADINI

    Wakala wa Vipimo (WMA) inawakaribisha wananchi wote wa Geita na Mikoa yote ya karibu kuhudhuria katika maonesho ya nne ya Teknolojia na uwekezaji katika sekta ya Madini ambayo yanafanyika katika viwanja vya EPZ bomba mbili mjini Geita.

    Soma zaidi

  • August 26, 2021

    WAKALA WA VIPIMO YASISITIZA MATUMIZI YA VIPIMO SAHIHI CHATO

    Wakala wa Vipimo inawakaribisha Wananchi wote wa Chato pamoja na maeneo ya karibu kutembelea katika banda lake kwenye Maonesho ya kUtalii na Biashara yanayofanyika katika Uwanja wa Magufuli Chato.

    Soma zaidi

  • August 26, 2021

    WAKALA WA VIPIMO YAPONGEZWA KUTOA ELIMU YA VIPIMO SONGEA

    Mwakilishi wa Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Mhe. Pololet Kamando Mgema ambaye ni Mkuu wa Wilaya ya Songea ameipongeza taasisi ya Wakala wa Vipimo (WMA) kwa kutoa mafunzo ya matumizi sahihi ya Vipimo

    Soma zaidi