Habari
-
May 13, 2024WAKALA WA VIPIMO NA EWURA ZAFANYA UKAGUZI KATIKA VITUO VYA KUUZA MAFUTA MKOANI PWANI
Wakala wa Vipimo (WMA) imeshirikiana na Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) kufanya ukaguzi wa kushitukiza katika vituo mbalimbali vya kuuza mafuta mkoani Pwani.
Soma zaidi -
May 01, 2024WAKALA WA VIPIMO (WMA) YASHIRIKI MAADHIMISHO YA SIKU YA WAFANYA KAZI DUNIANI (MEI MOSI)
Uongozi na watumishi wa Wakala wa Vipimo (WMA), umeshiriki katika maadhimisho ya siku ya Wafanyakazi Duniani (Mei Mosi)
Soma zaidi -
April 29, 2024WAKALA WA VIPIMO (WMA), YASHIRIKI MAONESHO YA MIAKA 60 YA MUUNGANO WA TANGANYIKA NA ZANZIBAR.
Wakala wa Vipimo (WMA) imeshiriki katika wiki ya maonesho ya miaka 60 ya muungano wa Tanganyika na Zanzibar yanayoendelea kufanyika katika viwanja vya maonesho vya Mnazi Mmoja jijini Dar es salaam.
Soma zaidi -
April 29, 2024BODI YA USHAURI NA MENEJIMENTI YA WAKALA WA VIPIMO YAZUNGUMZA NA WATUMISHI WAKE.
Bodi ya Ushauri ya Wakala wa Vipimo chini ya Mwenyekiti wake Profesa Elizabeth Alfred Mwakasangula imezungumza na watumishi wa taasisi hiyo leo tarehe 29,April 2024 katika ukumbi wa mikutano wa Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF),Ilala Jijini Dar es salaam.
Soma zaidi