Habari


  • November 21, 2023

    KAMATI YA BUNGE VIWANDA, BIASHARA, KILIMO NA MIFUGO YAPATIWA ELIMU KUHUSU MATUMIZI SAHIHI YA VIPIMO

    Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Viwanda Biashara, Kilimo na Mifugo imeielekeza Wizara ya Viwanda na Biashara kupitia Wakala wa Vipimo nchini (WMA) kuwa na mpango mkakati endelevu wa utoaji elimu kuhusu matumizi sahihi ya Vipimo.

    Soma zaidi

  • November 16, 2023

    YALIYOJIRI KATIKA SEMINA YA MATUMIZI SAHIHI YA VIPIMO WILAYA YA CHAMWINO DODOMA TAREHE 16.11.2023

    Mkuu wa Wilaya ya Chamwino Mhe. Gift Msuya amewaasa Madiwani wa Halmashauri hiyo kuwahimiza Wananchi kutumia Vipimo sahihi katika Biashara na katika ufungashaji wa mazao ya kilimo pia.

    Soma zaidi

  • November 10, 2023

    YALIYOJIRI KATIKA HAFLA YA KUWAPONGEZA WANAFUNZI WALIOFANYA VIZURI ZAIDI CHUO CHA CBE DAR ES SALAAM

    Afisa Mtendaji Mkuu Wakala wa Vipimo Bi. Stella Kahwa leo tarehe 9/11/2023 alikuwa Mgeni Rasmi katika hafla ya kuwapongeza Wanafunzi wa Chuo Cha Elimu ya Biashara (CBE) ambao wamefanya vizuri zaidi katika fani mbalimbali.

    Soma zaidi

  • October 16, 2023

    YALIYOJIRI KWENYE KIKAO CHA WMA NA UONGOZI WA KIWANDA CHA SARUJI CHA DANGOTE

    Wakala wa Vipimo Makao Makuu imefanya kikao na Uongozi wa kiwanda cha Saruji cha Dangote kilichopo Mkoani Mtwara kwa lengo la kupeana elimu kuhusu matumizi sahihi ya vipimo

    Soma zaidi