Habari


  • May 31, 2024

    WAKALA WA VIPIMO YA ADHIMISHA SIKU YA VIPIMO DUNIANI KWA KUGAWA MIZANI SOKO LA ILALA.

    Wakala wa Vipimo (WMA) imeungana na taasisi zingine za vipimo duniani kuadhimisha Siku ya Vipimo ambayo huadhimishwa Mei 20 kila mwaka.

    Soma zaidi

  • May 18, 2024

    WAKALA WA VIPIMO (WMA) YASHIRIKI KUTOA ELIMU SOKO LA KARUME MACHINGA COMPLEX

    Wakala wa vipimo (WMA) imeshiriki katika kutoa elimu juu ya matumizi sahihi ya vipimo kwa wafanyabiashara wa soko la karume machinga complex wilayani ilala Jijini Dar es salaam.

    Soma zaidi

  • May 18, 2024

    WAKALA WA VIPIMO (WMA) MKOA WA TEMEKE YATOA ELIMU KWA WAFANYABIASHARA SOKO LA STEREO

    Kuelekea Siku ya Vipimo Duniani ambayo huadhimishwa Mei 20 kila mwaka, Wakala wa Vipimo (WMA) Mkoa wa Temeke imetoa Elimu ya Vipimo kwa wafanyabiashara na wadau wa vipimo wanaofanya shughuli zao katika Soko la Stereo- Temeke, Jijini Dar es Salaam.

    Soma zaidi

  • May 14, 2024

    WAKALA WA VIPIMO YATOA ELIMU KWA BAADHI YA WATUMISHI WA SHIRIKA LA UZALISHAJI MALI JESHI LA KUJENGA TAIFA (SUMA JKT).

    Katika kuendeleza juhudi zake za kuwafikia wadau na kuwapa elimu ya matumizi sahihi ya vipimo, Wakala wa Vipimo (WMA) imewapa elimu hiyo baadhi ya wafanyakazi wa kampuni ya SUMA JKT waliopo ilala NSSF Mafao leo tarehe 14 Mei, 2024.

    Soma zaidi