Habari
-
March 19, 2024WAKALA WA VIPIMO YAANZA KUHAKIKI MITA ZA UMEME
Taasisi ya Wakala wa Vipimo (WMA) imeanza kufanya uhakiki wa mita za umeme mpya ambazo zinaenda kufungwa kwa wateja katika maeneo mbalimbali
Soma zaidi -
March 08, 2024WAFANYABIASHARA WA MBOGA MBOGA WATAKIWA KUZINGATIA SHERIA YA VIPIMO
Afisa mtendaji mkuu Wakala wa Vipimo( WMA) Bi. Stella Kahwa, amekutana na kufanya mazungumzo na wafanyabiashara wa mboga mboga na matunda (WAMBOMADA)
Soma zaidi -
February 16, 2024WAKALA WA VIPIMO YATOA ELIMU KWA WADAU WA MBOGA MBOGA WILAYANI GAIRO.
Wakala wa Vipimo (WMA) imetoa elimu kuhusu matumizi sahihi Vipimo kwa wasafirishaji, wafanyabiashara, wazalishaji na wakulima wa mboga mboga Wilaya ya Gairo, Mkoani Morogoro.
Soma zaidi -
February 09, 2024WAZIRI MKUU AWEKA JIWE LA MSINGI UJENZI WA OFISI YA MAKAO MAKUU YA WAKALA WA VIPIMO (WMA)
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa Majaliwa (Mb) ameweka jiwe la msingi katika ujenzi wa ofisi ya Makao Makuu ya wakala wa vipimo (WMA) jijini Dodoma.
Soma zaidi