Habari


  • November 10, 2023

    YALIYOJIRI KATIKA HAFLA YA KUWAPONGEZA WANAFUNZI WALIOFANYA VIZURI ZAIDI CHUO CHA CBE DAR ES SALAAM

    Afisa Mtendaji Mkuu Wakala wa Vipimo Bi. Stella Kahwa leo tarehe 9/11/2023 alikuwa Mgeni Rasmi katika hafla ya kuwapongeza Wanafunzi wa Chuo Cha Elimu ya Biashara (CBE) ambao wamefanya vizuri zaidi katika fani mbalimbali.

    Soma zaidi

  • October 16, 2023

    YALIYOJIRI KWENYE KIKAO CHA WMA NA UONGOZI WA KIWANDA CHA SARUJI CHA DANGOTE

    Wakala wa Vipimo Makao Makuu imefanya kikao na Uongozi wa kiwanda cha Saruji cha Dangote kilichopo Mkoani Mtwara kwa lengo la kupeana elimu kuhusu matumizi sahihi ya vipimo

    Soma zaidi

  • September 30, 2023

    WMA YAKAGUA MIZANI INAYOTUMIKA KATIKA SEKTA YA MADINI

    Wakala wa vipimo inaishukuru sana serikali ya awamu ya sita ambayo inaongozwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuendelea kusimamia sekta ya madini

    Soma zaidi

  • September 01, 2023

    WAFANYABIASHARA WA SOKO LA MAWENZI MKOANI MOROGORO WAHIMIZWA KUTUMIA VIPIMO SAHIHI

    Meneja wa Wakala wa Vipimo (WMA) Mkoa wa Morogoro amewataka viongozi wa masoko ya Mkoa wa Morogoro na wafanyabiashara wa masoko yote kuzingatia matumizi sahihi ya vipimo wakati wote

    Soma zaidi