Habari


  • September 01, 2023

    WAFANYABIASHARA WA SOKO LA MAWENZI MKOANI MOROGORO WAHIMIZWA KUTUMIA VIPIMO SAHIHI

    Meneja wa Wakala wa Vipimo (WMA) Mkoa wa Morogoro amewataka viongozi wa masoko ya Mkoa wa Morogoro na wafanyabiashara wa masoko yote kuzingatia matumizi sahihi ya vipimo wakati wote

    Soma zaidi

  • August 29, 2023

    Afisa Mtendaji Mkuu Bi. Stella Kahwa afanya mazungumzo na Uongozi wa CBE

    Afisa Mtendaji Mkuu Bi. Stella Kahwa amekutana na kufanya mazungumzo na Kaimu Mkuu wa Chuo Cha Biashara (CBE) Prof. Tandi Lwoga leo tarehe 29.8.2023.

    Soma zaidi

  • August 25, 2023

    Dkt.Ashatu aridhishwa na Maendeleo ya Ujenzi wa Ofisi ya WMA Makao Makuu Dodoma

    Waziri wa Viwanda na Biashara Dkt.Ashatu Kijaji(Mb) ameridhishwa na Ujenzi wa Jengo la Ofisi ya Wakala wa Vipimo Tanzania (WMA) chini ya Mkandarasi kutoka Kampuni ya Mohammed Builders Limited.

    Soma zaidi

  • August 15, 2023

    YALIYOJIRI WAKATI WA MKUTANO WA WMA NA WAANDISHI WA HABARI KWENYE UKUMBI WA HABARI MAELEZO DODOMA

    Wakala wa Vipimo katika utekelezaji wa majukumu yake unasaidia katika kujenga uchumi wa kisasa, shirikishi na shindani, msingi mkuu wa kufanikisha haya ni kuwa na viwanda vinavyotumia ipasavyo vipimo vilivyohakikiwa.

    Soma zaidi