Habari


  • November 16, 2023

    YALIYOJIRI KATIKA SEMINA YA MATUMIZI SAHIHI YA VIPIMO WILAYA YA CHAMWINO DODOMA TAREHE 16.11.2023

    Mkuu wa Wilaya ya Chamwino Mhe. Gift Msuya amewaasa Madiwani wa Halmashauri hiyo kuwahimiza Wananchi kutumia Vipimo sahihi katika Biashara na katika ufungashaji wa mazao ya kilimo pia.

    Soma zaidi

  • November 10, 2023

    YALIYOJIRI KATIKA HAFLA YA KUWAPONGEZA WANAFUNZI WALIOFANYA VIZURI ZAIDI CHUO CHA CBE DAR ES SALAAM

    Afisa Mtendaji Mkuu Wakala wa Vipimo Bi. Stella Kahwa leo tarehe 9/11/2023 alikuwa Mgeni Rasmi katika hafla ya kuwapongeza Wanafunzi wa Chuo Cha Elimu ya Biashara (CBE) ambao wamefanya vizuri zaidi katika fani mbalimbali.

    Soma zaidi

  • October 16, 2023

    YALIYOJIRI KWENYE KIKAO CHA WMA NA UONGOZI WA KIWANDA CHA SARUJI CHA DANGOTE

    Wakala wa Vipimo Makao Makuu imefanya kikao na Uongozi wa kiwanda cha Saruji cha Dangote kilichopo Mkoani Mtwara kwa lengo la kupeana elimu kuhusu matumizi sahihi ya vipimo

    Soma zaidi

  • September 30, 2023

    WMA YAKAGUA MIZANI INAYOTUMIKA KATIKA SEKTA YA MADINI

    Wakala wa vipimo inaishukuru sana serikali ya awamu ya sita ambayo inaongozwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuendelea kusimamia sekta ya madini

    Soma zaidi