Habari
-
August 29, 2023Afisa Mtendaji Mkuu Bi. Stella Kahwa afanya mazungumzo na Uongozi wa CBE
Afisa Mtendaji Mkuu Bi. Stella Kahwa amekutana na kufanya mazungumzo na Kaimu Mkuu wa Chuo Cha Biashara (CBE) Prof. Tandi Lwoga leo tarehe 29.8.2023.
Soma zaidi -
August 25, 2023Dkt.Ashatu aridhishwa na Maendeleo ya Ujenzi wa Ofisi ya WMA Makao Makuu Dodoma
Waziri wa Viwanda na Biashara Dkt.Ashatu Kijaji(Mb) ameridhishwa na Ujenzi wa Jengo la Ofisi ya Wakala wa Vipimo Tanzania (WMA) chini ya Mkandarasi kutoka Kampuni ya Mohammed Builders Limited.
Soma zaidi -
August 15, 2023YALIYOJIRI WAKATI WA MKUTANO WA WMA NA WAANDISHI WA HABARI KWENYE UKUMBI WA HABARI MAELEZO DODOMA
Wakala wa Vipimo katika utekelezaji wa majukumu yake unasaidia katika kujenga uchumi wa kisasa, shirikishi na shindani, msingi mkuu wa kufanikisha haya ni kuwa na viwanda vinavyotumia ipasavyo vipimo vilivyohakikiwa.
Soma zaidi -
August 11, 2023WAKALA WA VIPIMO YAHIMIZWA KUSIMAMIA UANZISHWAJI WA VITUO VYA MAUZO YA MAZAO
Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe. Exaud Kigahe (Mb) ameipongeza taasisi ya Wakala wa Vipimo kwa kuendelea kusimamia usahihi wa vipimo kwenye sekta mbalimbali ikiwa ni pamoja na sekta ya Kilimo.
Soma zaidi