Habari
-
July 31, 2023DKT. ASHATU KIJAJI ASISITIZA USIMAMIZI WA USAHIHI WA VIPIMO AKIZINDUA BODI YA WAKALA WA VIPIMO (WMA)
Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe. Dkt. Ashatu Kijaji (Mb) asisitiza bodi mpya ya ushauri ya Wakala wa Vipimo kuhakikisha walaji wanalindwa kupitia uhakiki wa vipimo
Soma zaidi -
July 21, 2023YALIYOJIRI KWENYE KIKAO CHA MENEJIMENTI CHA TATHMINI YA UTENDAJI WA WAKALA WA VIPIMO
Katibu Mkuu Wizara ya Viwanda na Biashara Dkt. Hashil Abdallah amewataka viongozi wa Wakala wa Vipimo kujikita zaidi kwenye kusaidia uwezeshaji kwenye Biashara kwa kuhakikisha inatoa elimu ya kutosha kuhusu umuhimu wa kutumia Vipimo na kuhakikisha wafanyabiashara wanazalisha bidhaa zenye Vipimo sahihi .
Soma zaidi -
June 21, 2023ELIMU YA VIPIMO KATIKA MAADHIMISHO YA SIKU YA BARCODE KITAIFA
Waziri wa maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima ameipongeza Wakala wa Vipimo kwa kushiriki kwenye maadimisho ya Siku ya Barcode Kitaifa
Soma zaidi -
May 21, 2023SETI 25 ZA VIPIMO VYA MAWESE ZAGAWIWA KWENYE MAADHIMISHO YA SIKU YA VIPIMO DUNIANI MKOANI KIGOMA
Wakala wa Vipimo imeadhimisha siku ya Vipimo Duniani Mkoa wa Kigoma kwa kugawa jumla ya seti za vipimo 25 zenye ujazo wa lita 5, lita 10 na lita 20 kwa lengo la kuhimiza matumizi ya vipimo sahihi
Soma zaidi