Habari


  • November 18, 2022

    KAMATI YA BUNGE VIWANDA, BIASHARA NA MAZINGIRA YAIPONGEZA WAKALA WA VIPIMO

    Kituo cha Wakala wa Vipimo (WMA), Misugusuru Mkoa wa Pwani kimekuwa cha mfano na nchi za Afrika Mashariki zimekuwa zikija kujifunza ubora wa kazi zinazofanywa kwenye kituo hicho

    Soma zaidi

  • October 28, 2022

    MIZANI 1326 IMEHAKIKIWA MTWARA KWENYE MSIMU WA KOROSHO

    Wakala wa Vipimo Mtwara imefanya uhakiki wa mizani 1326 ili kuhakikisha biashara zinafanyika kwa kutumia vipimo sahihi ili wakulima wa zao la korosho wasipunjike na waweze kunufaika na korosho watakayo uza.

    Soma zaidi

  • July 20, 2022

    MIZANI ZAIDI YA 225 IMEKAGULIWA KWA AJILI YA MSIMU WA UNUNUZI WA KAHAWA

    Wakala wa Vipimo (WMA) inaendelea na zoezi la ukaguzi wa mizani inayotarajiwa kutumika katika ununuzi wa zao la kahawa Mkoani Kagera. Ukaguzi huu hufanyika kila mwaka kabla ya kuanza kwa msimu wa ununuzi wa Mazao na mizani inayobainika kuwa sahihi uwekewa alama maalumu na Mkaguzi ambayo ni stika ya WMA

    Soma zaidi

  • April 12, 2022

    WAKALA WA VIPIMO YAHIMIZA UFANYAJI KAZI KWA KUZINGATIA SHERIA YA VIPIMO

    Meneja wa Survaillance Bw. Almachius Pastory ambaye alimuwakilisha Kaimu Afisa Mtendaji Mkuu amefanya ufunguzi wa Mkutano Mkuu wa Mwaka wa Mafundi Mizani ambao kwa mara ya kwanza tangu kuanzishwa kakwe umefanyika Jijini Dodoma kwenye ukumbi wa Chuo cha Elimu ya Biashara (CBE).

    Soma zaidi